Tuesday, November 18, 2008

Macho hayana pazia


Mdada wa watu ni mahiri kwa kuimba muziki, na hapa anapagaisha wapenzi wake katika moja ya maonyesho yake yanayompatia sifa ulimwenguni kote, ona alivyo, anavutia kumwangalia katika ule msemo unaosema macho hayana pazia.

Friday, November 14, 2008

Maoni yangu kupitia kozi hii

NILIKUWA mmoja wa washiriki wa Semina iliyoandaliwa na MISA Tan, iliyojumuisha Wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari vya hapa nchini.
Semina hiyo ilihususha pia na waandishi wa habari waandamizi, pamoja na wale wanaoendelea kujifunza fani hiyo.

Semina hiyo iliyoanza Novemba 10 hadi 14 mwaka huu, pamoja na mambo mengi tuliweza kujifunza teknolojia ya kompyuta na vipengele vyake, kikubwa zaidi tulijifunza matumizi ya Internet na matumizi yake katika fani ya uandishi wa habari kote duniani.

Katika mada hiyo, tumejifunza kuwa,matumizi ya Internet ni makubwa, ama kwa lugha nyingine ni kwamba, Internet inaweza kutumika kama nyenzo kubwa ya upatikanaji wa habari katika vyombo vingi vya habari.

Hii ni kwa sababu, kwa kutimia Internet mwandishi ama chombo cha habari husika kinaweza kupata taarifa kutoka kila kona ya dunia, na ndipo unapokuja msemo usemao kuwa, kwa kutumia kompyuta ni dunia ni kama kijiji, ambapo unaweza ukapata taarifa muhimu kupitia mitandao mikubwa ya habari duniani.

Wito wangu, ambalo ni pendekezo langu kwa MISA Tan kupitia kozi hii ni kwamba, pamoja na kushukuru kwa kina kufanyika kwa kozi hii na mimi kuwa mmoja wa mshiriki, ningependekeza kuwa, wakati umefika sasa kwa taasisi yetu hii kuandaa kozi nyingi kama hizi, na kuwashirikisha waandishi wengi wa habari kutoka katika vyombo vingi, na hii itasaidia kuwapa uwezo wa kujifunza jinsi ya kutumia teknolojia za kisasa kupata habari na taarifa muhimu kutoka kokote duniani.
Kufanyika kwa kozi nyingi kama hizi zitasaidia waandishi na taaluma kwa ujumla kufanya kazi zao kirahisi na kwenda na wakari kana walivyo waandishi na vyombo vya habari vya nchi zilizoendelea.

About Binyavanga Wainaina


Binyavanga Wainaina is a femours story writter from Kenya, who was awarded Caine Prize’ in 2002 through is short story so called ‘How to Write in Africa.

Binyavanga was born in 1971 in Nakuru, situated in Nakuru province.Gets his education in various schools, included Nakuru Pirimary School, then attended Mangu High School in Thika and Lenana School, in Nairobi.

He is a founder editor of Kwani Magazine which deals writing literary stories,m and through his publishers he wrote so many shot stories inlubding, How to Write in Africa, Discovering Home, An Affair to Dismember, Beyond the River Yei,A letter from Nairobi and BBC News Articles.

He established Kwani Megazine in 2003 , he aimed to nurturing and developing kenya’s and Africa intellectual and creative resource through strategic literancy.

In 2002 Binyavanga Wainaina awarded the Caine Prize and to be recongniced for his effort payed to the African Writers, who always facing a hard time doing their activities with in the field of journalism.

Not only he was awarded the Caine Prize, but Binyavanga Wainana also prized another prize, this time prized within his country, in Kenya.It was in January 2007. He awarded prize toward World Economic forum as ‘Young Global Leader.

About Cane Prize

The Caine Prize is prize worth 10,000 dollar, awarded to the African writers wherever they are.It is awarded annually to the short story writers, which published their stories in English languange.

The Prize aimed encourage writers of Africa, founded in England in 2000. in memory of late Sir Michael Harris Caine, who was a former chairman of Book publishers.

With the Binyavanga Wainana to have the Caine Prize, others who wons since in 2000 with the year into the blackets are Leila Aboulela (2000),Helon Habila (2001),Yvonne Adhiambo Owuor (2003), Brian Chikwava 2004,S.A.Afolabi,Mary Watson 2006, Monica Arac de Nyeko (2007) and Henrietta Rose –Innes.

My short comment

Through his article,i realised that, Binyavanga Wainaina is so good writer,to be recongnised in case of writing features, short stories by expresing what African peoples facing alot of problems to their daily lives.

He gives me something to learn., maily about how to express and making point on the issue he raisen.

I obsereving that Africa as if one country. It is hot and dusty with rolling grasslands and huge herds of animals and tall, thin people who are starving. Or it is hot and steamy with very short people who eat primates. Don’t get bogged down with precise descriptions.


Through BinyavangaI believe that, the African continent have so many thing to write and discus about, through many contents which within our daily life day to day.

Tuesday, November 11, 2008

About me


NI Mimi Mawazo Lusonzo, ni mwandishi wa habari mwandamizi katika kampuni ya LadyBand inayochapisha magazeti ya Changamoto na The Football.Magazeti yote haya yanachapishwa kwa lugha ya Kiswahili.
Gazeti la Changamoto, linaandika habari nyingi za uchunguzi, siasa, jamii, uchumi, michezo na burudani, huwa mitaani kila siku ya Jumanne.The Football, hili ni gazeti la michezo na burudani, ambalo linatoka kila jumamosi.
Ndani ya kampuni ya LadyBand inayochapa magazeti haya, mimi ninabeba jukumu la mhariri wa michezo wa magazeti yote mawili.
Ni mzaliwa wa mwaka 1964 katika mji mdogo wa Mkongo, uliopo wilayani Rufiji, mkoani Pwani.Kabila langu ni Mkutu, na asili yangu ni mkoa wa Morogoro, katika kitongoji kongwe cha Maji Moto, Kisaki.
Nimeingia katika taaluma hii ya uandishi wa habari mwaka 1993 na kuandikia magazeti mbalimbali yakiwemo, Wasaa, Majira,Maisha, Dar Leo, Mkombozi,Watu, Mwangaza,Ngurumo za Simba na sasa Changamoto na The Football.
Ni mwandishi wa makala, habari za uchunguzi, siasa, burudani, ambapo kwa sasa nimejikita katika masuala ya michezo na burudani.


Nilichojifunza katika kozi hii ni kuwa:-

1. Matumizi ya makubwa ya Internet inavyosaidia katika kupata taarifa nyingi kwa ajili ya kupata taarifa za usafiri, hali ya hewa, masuala ya benki, usomaji wa vitabu duniani kote.
2. Nimejifunza upatikanaji rahisi wa habari mbalimbali kupitia Internet.
3.Kwa misingi hii, na kwa lugha nyepesi ni sawa na kusema kuwa, Internet ni kila kitu, na imeifanya dunia kuwa kama kijiji.