Tuesday, November 18, 2008

Macho hayana pazia


Mdada wa watu ni mahiri kwa kuimba muziki, na hapa anapagaisha wapenzi wake katika moja ya maonyesho yake yanayompatia sifa ulimwenguni kote, ona alivyo, anavutia kumwangalia katika ule msemo unaosema macho hayana pazia.

No comments: